Marehemu Munuhe Kareithi alizaliwa kwenye kijiji cha Mbari-ya-Hwai katika Wilaya ya Nyeri na alifariki 1977 katika ajali ya gari. Alisoma katika shule ya Tumutumu na hatimaye akaenda kwenye shule ya Kagumo ambako alihitimu na kupata Shahada ya Ualimu wa Primary. Alianza kufundisha mnamo mwaka 1954 huku akijielimisha mwenyewe na mwishowe akaingia Chuo Kikuu cha Makerere. Baadaye marehemu Kareithi alikwenda kwenye Chuo cha Kent, Ohio nchini Amerika. Katika kitabu hiki marehemu Kareithi anaeleza kwa mtindo rahisi na safi, kumbukumbu ya mambo aliyoshuhudia wakati wa hali ya hatari kabla Jamhuri ya Kenya haijajinyakulia uhuru. Katika hadithi hii ya Mau Mau ambayo ni ya kwanza kuandikwa katika lugha ya Kiswahili, marehemu Kareithi amefaulu kueleza waziwazi vita vya uhuru wa Kenya na gharama iliyowabidi wapigania uhuru hao kulipa. Kila msomaji amalizae kusoma hadithi hii hataacha kujiuliza nafsi yake kama anatimiza wajibu wake katika ujenzi wa taifa hili.
Ilhali kitabu kimeandikwa kwa lugha ya taifa, nitazungumza kwa lugha ya Uingireza, kwa nia ya kupitisha ujumbe huu kwa wote (Although the book is written in Swahili, I will speak in English for the sake of passing on this message to everyone)
The story told by P.M Kareithi isn't meant to give you hope, it's meant to awaken you. To see the struggle and bloodshed of our past mother's and fathers against a despot leadership that worked to weaken, impoverish and whip those of our color to submission, on our own land.
I imagined my life living in the forest, constantly searching for food and medical supplies as I fight my colonizers. I imagined what it might be like to be sought after by people who, although share my skin color, believe I am a fool and should be grateful to live under the rule of a leader who places me beneath their cattle. What a reality! :(
I rate this book 5 stars because it's the only Swahili book I've come across that tells our story like it is. Bloody.
The Cost of the Struggle for Freedom. This is a short novel, almost a reportage about the 1950s liberation struggle in Kenya. At the time, the British still believed that they had a future as colonial masters. But among black Kenyans who had fought on the Allied side during World War II, there was great dissatisfaction. A main character in the novel, a veteran of the Burma War called Major Blue, leads a group of Mau Mau rebels. In addition to following him, we also get the story of the young woman Mumbi, who is subjected to abuse by black government officials who are on the side of the British.
All in all, a simple, yet engaging story about the violent phase of Kenya's struggle for independence that was achieved in 1963. The book has been translated from Swahili to Norwegian by Reidulf Molvær. He has also written a useful foreword.
A painful story of Kenyan independence. How empires crumble in the face of freedom fighters, and Women more often the not bear the utmost cruelty at the hands of the colonizers.
A true feminist story, one that everyone should read. Remembering our past must include the sacrifices of Women, whose loyalty was simply to those they love and who love them back, yet are faced with unimaginable cruelty or submission to colonial masters and their sock puppet leaders.
This woman chose resistance and her story must be told.
Read this book. If you struggle to find an English version, ask me, Ill ship you a few copies. This needs to be spread worldwide so we can begin to memorialize women in all of our fights for freedom.
Reading this book was long overdue, as I was always curious about the interplay between WW2 and the rise of MauMau during the 1950s. The author successfully lays down the context for the country and makes us care about Mumbi and Maacira’s outcome. Thoroughly enjoyed this book!