Kiswahili


Siku njema (Swahili Edition)
Kiswahili Mufti: Darasa la Nane
Am I Small? Je Suis Petite, Moi ?
Moja Means One: Swahili Counting Book
Nagona
Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine
Jambo Means Hello: Swahili Alphabet Book
Siri ya Baba Yangu: Kitabu Cha Kwnaza (Swahili)
Kiswahili Mufti: Darasa la Saba
Blank 133x176
Kichwamaji
 
by
Euphrase Kezilahabi
Ndoto ya Almasi
Kisima Cha Giningi
Blank 133x176
Rosa Mistika
 
by
Euphrase Kezilahabi
Blank 133x176
Chozi la Heri
 
by
Assumpta K. Matei
Blank 133x176
Utengano
 
by
Said Ahmed Mohamed
Enock Maregesi
Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.
Enock Maregesi

Enock Maregesi
Hata wamisionari, hasa wamisionari wa Kiprotestanti, hawakukitumia Kiingereza katika kueneza dini kwa sababu hadhira yao isingewaelewa. Badala yake walitumia lugha za makabila ya Kiswahili, hivyo kujikuta wakieneza zaidi utamaduni wa Kiswahili kuliko wa Kiingereza au Kijerumani.
Enock Maregesi

More quotes...