Kiswahili


Kiswahili Mufti: Darasa la Nane
Siku njema (Swahili Edition)
Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine
Siri ya Baba Yangu: Kitabu Cha Kwnaza (Swahili)
Kiswahili Mufti: Darasa la Saba
Am I Small? Je Suis Petite, Moi ?
Kisima Cha Giningi
Blank 133x176
Rosa Mistika
 
by
Euphrase Kezilahabi
Blank 133x176
Chozi la Heri
 
by
Assumpta K. Matei
Blank 133x176
Utengano
 
by
Said Ahmed Mohamed
Kidagaa Kimemwozea
Moja Means One: Swahili Counting Book
69 Short Swahili Stories for Beginners: Dive Into Swahili Culture, Expand Your Vocabulary, and Master Basics the Fun Way! (Swahili Through Stories: A Cultural Journey Book 1)
Swahili Short Stories: Short Swahili Stories for Beginners
Alisi Ndani ya Nchi ya Ajabu (Swahili Edition) by Lewis Carroll (2015-08-15)
Enock Maregesi
Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.
Enock Maregesi

Enock Maregesi
Kiingereza kililetwa na wakoloni wa Kiingereza kutoka Uingereza na walikitumia katika masuala yote ya kiutawala ya Afrika Mashariki. Kililetwa pia na wamisionari waliojenga shule na kuwafundisha Kiingereza wanafunzi na walimu na watu wengine wa kawaida, kwa lengo la kuwasaidia katika kazi yao ya kueneza dini kama wakalimani, hivyo kufanya Kiingereza kienee zaidi kuliko Kiswahili.
Enock Maregesi

More quotes...