Home
My Books
Browse ▾
Recommendations
Choice Awards
Genres
Giveaways
New Releases
Lists
Explore
News & Interviews
Genres
Art
Biography
Business
Children's
Christian
Classics
Comics
Cookbooks
Ebooks
Fantasy
Fiction
Graphic Novels
Historical Fiction
History
Horror
Memoir
Music
Mystery
Nonfiction
Poetry
Psychology
Romance
Science
Science Fiction
Self Help
Sports
Thriller
Travel
Young Adult
More Genres
Community ▾
Groups
Quotes
Ask the Author
Sign In
Join
Sign up
View profile
Profile
Friends
Groups
Discussions
Comments
Reading Challenge
Kindle Notes & Highlights
Quotes
Favorite genres
Friends’ recommendations
Account settings
Help
Sign out
Home
My Books
Browse ▾
Recommendations
Choice Awards
Genres
Giveaways
New Releases
Lists
Explore
News & Interviews
Genres
Art
Biography
Business
Children's
Christian
Classics
Comics
Cookbooks
Ebooks
Fantasy
Fiction
Graphic Novels
Historical Fiction
History
Horror
Memoir
Music
Mystery
Nonfiction
Poetry
Psychology
Romance
Science
Science Fiction
Self Help
Sports
Thriller
Travel
Young Adult
More Genres
Community ▾
Groups
Quotes
Ask the Author
Enock Maregesi
> Enock's Quotes
Showing 1-30 of 1,118
« previous
1
2
3
4
5
6
7
8
9
…
37
38
next »
sort by
date added
favorite
random
like
#1
“Kolonia Santita ni tofauti na hadithi zingine kwa sababu ya wapelelezi wake. Wapelelezi wake ni makomandoo-wapelelezi-wanajeshi.”
―
Enock Maregesi
tags:
informational
11 likes
like
#2
“Sema hapana kwa ndiyo nyingi kwa sababu hawaoni unachokiona. Ndoto yako waijua mwenyewe.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational
12 likes
like
#3
“Joram Kiango ni mpelelezi maarufu nchini Tanzania. Willy Gamba ni mpelelezi maarufu katika bara la Afrika. John Murphy ni mpelelezi maarufu duniani. Ni watu watatu tofauti wanaofanya kazi zinazofanana.”
―
Enock Maregesi
tags:
informational
13 likes
like
#4
“Kinachotokea leo kitatuathiri kesho. Mbegu tunazopanda sasa ni mazao ya msimu ujao.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational
11 likes
like
#5
“Usalama wa Taifa ni akili si ukali. Kazi yake, au wajibu wake; ni kukusanya, kuchanganua, kudurusu na kuunganisha kwa makini, taarifa nyeti za kijasusi za ndani na nje ya nchi kuilinda Tanzania na watu wake. Ukitaka kuwa na akili kuwa kawaida. Ukitaka kuwa na nguvu kuwa mkarimu. Ukitaka kuwa tajiri kuwa tajiri wa unyenyekevu.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational
11 likes
like
#6
“Kufanya kosa huku ukijua ni kosa ni kujiombea jela mwenyewe.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational
8 likes
like
#7
“Ukiishi Mexico City katika daraja la watu wakubwa na wewe na anasa ni marafiki wakubwa, hutapenda kuendesha gari ambayo kila mtu anaendesha mjini. Nunua gari na kuibadilisha kuwa ya kwako. Lisa aliponunua gari yake huko Ejército Nacional Mexicano, Mexico City, katika duka la Ferrari, aliipeleka Los Angeles kwa marekebisho aliyoyataka. Ferrari haikuwa ya kawaida. Mbali na kinga ya risasi ya inchi nne, Ferrari ya Lisa ilikuwa na mwendo mkali na matairi makubwa kuliko Ferrari za kawaida. Ilikuwa na rangi tatu: nyeusi, pinki na njano zilizokuwa zikibadilika kulingana na hali ya hewa; na kadhalika ilikuwa na breki ya upepo kwa nyuma, katika buti ya aluminiamu, kwa ajili ya kuikandamiza chini wakati wa mwendo mkali, ili isiyumbe sana barabarani. Lisa peke yake ndiye aliyekuwa na gari ya namna hiyo Mexico City nzima.”
―
Enock Maregesi
tags:
exclusivity
,
snooty
11 likes
like
#8
“Watu hawaheshimu wewe ni nani au unatoka wapi. Wanaheshimu nguvu ya matendo yako.”
―
Enock Maregesi,
Kolonia Santita
tags:
attitude
5 likes
like
#9
“Kolonia Santita ni kitabu cha Kiswahili. Si Kingereza wala Kihispania. Lazima tujifunze kuipenda na kuitetea lugha yetu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.”
―
Enock Maregesi
tags:
informational
5 likes
like
#10
“Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.”
―
Enock Maregesi
tags:
drug-addiction
5 likes
like
#11
“Watu wanapokuwa katika migogoro maisha yao hutakiwa kurahisishwa. Kuna ukingo mwembamba kati ya uzima na wazimu.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational-attitude
5 likes
like
#12
“Rais wa Tume ya Dunia hakuchaguliwa kuwa kitu katika tume. Alichaguliwa kufanya kitu katika dunia.”
―
Enock Maregesi
tags:
industriousness
7 likes
like
#13
“Mihadarati ni chanzo kikubwa cha matatizo ya wanadamu. Mshahara wake ni wazimu, uhalifu na mauti.”
―
Enock Maregesi
tags:
drug-addiction
6 likes
like
#14
“Watu wanaohatarisha maisha yao kwa kudharau sheria wakati mwingine hawatakiwi kudharauliwa. Ni sawa na mtu aliyepoteza kila kitu katika maisha yake. Wana uwezo wa kufanya chochote.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational
5 likes
like
#15
“Kila mtu hapa duniani ni jirani yako. Hakuna mtu mwingine hapa ulimwenguni isipokuwa sisi. Lazima tujifunze kuishi pamoja.”
―
Enock Maregesi
tags:
peace-on-earth
8 likes
like
#16
“Vichwa vitatu vya sururu na chembe tatu za bunduki za Kalashnikov; na alama ya bahati, mafanikio, udhalimu na mwanzo mpya ya msalaba wa swastika, kama alama ya ujenzi na uhalifu wa Kolonia Santita.”
―
Enock Maregesi
tags:
informational
10 likes
like
#17
“The best prize life has to offer is not a chance to work hard and be something in the community. It is the perfume of God that resides within you.”
―
Enock Maregesi
tags:
peace
15 likes
like
#18
“Mwalimu Julius Nyerere was a father to his family. To Tanzania he was a defender of a dream.”
―
Enock Maregesi
tags:
legend
4 likes
like
#19
“Sex to me is not luxury any more. It is necessity of reproduction.”
―
Enock Maregesi
tags:
commitment
5 likes
like
#20
“It is quite disappointing that people you love the most don't love what you love the most. They don't know you. Don't apologise for your dreams.”
―
Enock Maregesi
tags:
persistance
7 likes
like
#21
“Two plus two is not sometimes equal to four ... It is equal to four plus one because one is a powerful amalgamation.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational
4 likes
like
#22
“Las Vegas. Madhali umeona tunafanya nini katika maisha, fumba macho kwa kuyakodoa. Wanaosema hawajui wanaojua hawasemi. Siri ni siri milele. Kinachofanyika hapa hubakia hapa.”
―
Enock Maregesi
tags:
secrets
4 likes
like
#23
“Watu wa kulisaidia bara la Afrika hawatatoka Amerika au kwingineko. Afrika ni tatizo letu. Watatoka Afrika kwenyewe.”
―
Enock Maregesi
tags:
africa
5 likes
like
#24
“Mojawapo ya misingi ya ujasusi ni kuwa na uwezo wa kutofautisha kati ya unachojua, usichojua na unachofikiria. Unaweza kusema unajua wakati hujui. Maamuzi yasiyo sahihi ya kijasusi huweza kuiletea tume madhara makubwa.”
―
Enock Maregesi
tags:
intelligence
4 likes
like
#25
“Usitegemee malaika ashuke kutoka mbinguni kuja kukutatulia shida zilizokushinda kwa uzembe. Malaika ni wewe mwenyewe. Ukifanya unachoweza kufanya, Mungu atafanya usichoweza kufanya.”
―
Enock Maregesi
tags:
slothfulness
5 likes
like
#26
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.”
―
Enock Maregesi
tags:
change
4 likes
like
#27
“Wazazi wetu ni watu wa kuheshimu kuliko kitu chochote. Wanaweza kuona tusipoweza kuona – nyuma na mbele ya tarehe zetu za kuzaliwa.”
―
Enock Maregesi
tags:
respect
7 likes
like
#28
“Nimebadili utaratibu wangu siku hizi kutokana na maadili ya watoto wetu. Siongei na watoto wangu kuhusu Mungu. Naongea na Mungu kuhusu watoto wangu. Yesu alilipa gharama ya maisha yake kutununua kutoka kwa Shetani. Tumrudie; hususan katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa.”
―
Enock Maregesi
tags:
doctrine
9 likes
like
#29
“Katika jiji la Dar watu hawaendi kazini. Wanakwenda vitani. Wania kilicho chako ukidhulumiwa. Utajiri humpendelea anayejaribu.”
―
Enock Maregesi
tags:
life
5 likes
like
#30
“Acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta.”
―
Enock Maregesi
tags:
inspirational
7 likes
« previous
1
2
3
4
5
6
7
8
9
…
37
38
next »
All Quotes
Tags From Enock’s Quotes
informational
inspirational
exclusivity
snooty
attitude
drug-addiction
inspirational-attitude
industriousness
peace-on-earth
peace
legend
commitment
persistance
secrets
africa
intelligence
slothfulness
change
respect
doctrine
life
Welcome back. Just a moment while we sign you in to your Goodreads account.