Bidii Quotes

Quotes tagged as "bidii" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Fanya kazi kwa bidii leo, kuokoa kesho yako kesho.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Usipofanya kazi kwa bidii na maarifa utaendelea kuuliza Mbagala tupande daladala gani, badala ya kuuliza Mbagala tupite njia gani.”
Enock Maregesi