,

Imani Ya Kweli Quotes

Quotes tagged as "imani-ya-kweli" Showing 1-3 of 3
Enock Maregesi
“Falaki maana yake ni kundi la nyota na sayari ikiwemo dunia. Falaki yetu inaitwa Njiamaziwa, ‘the Milky Way galaxy’, yenye mabilioni ya mifumo ya jua ukiwemo wa kwetu. Mungu alisimamisha jua katika falaki ya Njiamaziwa kwa ajili ya Yoshua, ili apate muda wa kutosha kuwashinda maadui zake – wanajeshi wa mataifa matano. Kila mtu alishangaa sana kipindi hicho. Kila mtu anashangaa sana kipindi hiki. Mungu akikubariki watu watasema wewe ni mchawi. Hawatajua nini kilitokea. Kwani kwa Mungu hakuna kinachoshindikana. Mungu aliweza kutenda miujiza kwa ajili ya Yoshua, na kwa ajili ya wana wa Israeli huko Gibeoni na huko Aiyaloni, anaweza kutenda miujiza kwa ajili yako popote pale ulipo. Mungu anachotaka kutoka kwako ni imani ya kweli juu yake, kwa mwili na kwa roho yako yote.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Hakuna uponyaji pasipo imani ya kweli. Giza linapoingia katika maisha yako ongea na Mungu. Halafu ongea na tatizo linalokusumbua. Kama tatizo linalokusumbua ni saratani, iambie saratani iondoke na kamwe isirudi katika mwili wako tena. Baada ya hapo, nenda kwa mchungaji. Jiweke wakfu, kwanza, kabla ya kuombewa.”
Enock Maregesi

“UKIFANYIWA UBAYA JARIBU KUEPUKA KURUDISHIA UBAYA NA KUENDELEA NA MAISHA YAKO.
HII NI NGUMU KWA WATU WA KAWAIDA KWA SABABU HAWAISIKII SAUTI YA MUNGU NA NI WAOGA KUISHI PEKE YAO.
LAKINI UKIPENDA NA KUSIKILIZA SAUTI YA IMANI YAKO NI LAZIMA UTAISHI KWA FURAHA NA KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKO.
CHA MSINGI NI KUJUWA MUNGU AMEKUCHAGUWA NA NGUVU ULIYONAYO INAOGOPESHA WENGI ILA UKIWA NAO INAWAPA AMANI NA MWONGOZO WA FURAHA KWENYE MAISHA NA KUWAPONYA N.K
UWEPO WAKO SEHEMU UFANYA HTA WANYAMA WATOTO KUDHANIA YA KWAMBA WANAKUJUWA INGAWA HAWAKUJUWI .
ZINGATI KUFANYA KAZI UNAYOIPENDA KWANI NDIYO SABABU YA WEWE KUISHI KWENYE MAISHA YA AMANI ALIYO KUPA MWENYEZI MUNGU .
YA
©️Kennedy S Mmbando 2025
...yiya”
Kennedy S Mmbando