Jesus Death Quotes

Quotes tagged as "jesus-death" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.”
Enock Maregesi

“Jesus Christ could die instead of man because He was sinless. As a man without sin, He was not under the judgment and condemnation of God. If Jesus had also committed sin and broken God's law, then He Himself would have needed to die according to God's righteousness judgment. He would not have been able to die for man's sin. But because He was without sin, He could die on behalf of sinful man. This is called 'vicarious death' for man.”
Henry Hon, ONE: Unfolding God's Eternal Purpose from House to House