The Unseen World Quotes

Quotes tagged as "the-unseen-world" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Kama damu haina maana kwa nini Mungu anaipenda? Kama damu haina maana kwa nini Shetani anaipenda? Mungu ni roho, Shetani ni roho, lakini damu ni kitu kinachoonekana kwa macho. Kwa nini damu ni kitu cha muhimu kiasi hicho kwa Mungu na kwa Shetani pia? Damu ni pato la ziada la ufunuo wa kiroho. Yaani, damu ni sehemu ya ulimwengu wa roho. Mungu ndiye aliyetengeneza damu kwa malengo anayoyajua yeye mwenyewe, hata Shetani hajui kwa asilimia mia umuhimu wa damu katika ulimwengu unaoonekana na katika ulimwengu usioonekana. Damu ina uwezo wa kuzuia mapepo kutoka kuzimu yasiharibu mipango ya maisha ya watu na ina uwezo wa kuondoa dhambi. Kafara ya damu inapotolewa inaimarisha uhusiano kati ya mtu na ulimwengu wa roho. Roho unayoitolea kafara inasikiliza shida zako papo hapo na kila unachoomba aghlabu kinatekelezwa. Ukitoa kafara kwa ajili ya Shetani, Shetani atasikiliza shida zako. Ukitoa kafara kwa ajili ya Mungu, Mungu atasikiliza shida zako. Tatizo kubwa la mwanadamu ni dhambi! Jibu la tatizo hilo ni damu ya Yesu Kristo.”
Enock Maregesi

“They spoke in abbreviations or acronyms, dropped syllables she did not think were expendable, made references to parts of popular culture that, to Ada, felt like distant unreachable rooms, the deepest chambers of a warren. She was 55 years old now...how much longer she wondered, could she stay
relevant? It would be the Evies of the world who would effect the biggest changes in the coming years. Not her; not Gregory. There were still times when she wished she could be on the inside of things, as she had been when she was younger. It used to be that she was the one who picked up on cultural references instantly, to the exclusion of older people. Now she smiled uncertainly at the clips and bits her young colleagues sent one another.”
Liz Moore