Usalama Wa Taifa Quotes

Quotes tagged as "usalama-wa-taifa" Showing 1-1 of 1
Enock Maregesi
“Matatizo ya kijamii, kimiiko, kimaadili, kisiasa, na kiroho; hayataweza kutatuliwa kwa pesa, vikao vya kifamilia, haki za binadamu, usalama wa taifa, au nguvu za kijeshi. Yataweza kutatuliwa kwa haki na hekima ya Mwenyezi Mungu.”
Enock Maregesi