13 books
—
4 voters
Armenia Books
Showing 1-50 of 1,022
Three Apples Fell from the Sky (Kindle Edition)
by (shelved 132 times as armenia)
avg rating 4.22 — 20,487 ratings — published 2015
The Sandcastle Girls (Hardcover)
by (shelved 81 times as armenia)
avg rating 3.89 — 42,975 ratings — published 2012
The Forty Days of Musa Dagh (Paperback)
by (shelved 45 times as armenia)
avg rating 4.39 — 2,094 ratings — published 1933
An Armenian Sketchbook (Paperback)
by (shelved 38 times as armenia)
avg rating 4.05 — 1,278 ratings — published 1965
Armenian Golgotha: A Memoir of the Armenian Genocide, 1915-1918 (Hardcover)
by (shelved 37 times as armenia)
avg rating 4.23 — 369 ratings — published 2009
The Hundred-Year Walk: An Armenian Odyssey (Hardcover)
by (shelved 36 times as armenia)
avg rating 4.27 — 1,662 ratings — published 2016
Black Dog of Fate: An American Son Uncovers His Armenian Past (Paperback)
by (shelved 35 times as armenia)
avg rating 4.22 — 1,799 ratings — published 1997
The Bastard of Istanbul (Hardcover)
by (shelved 35 times as armenia)
avg rating 3.88 — 65,741 ratings — published 2006
The Burning Tigris: The Armenian Genocide and America's Response (Paperback)
by (shelved 33 times as armenia)
avg rating 4.23 — 824 ratings — published 2003
Orhan's Inheritance (Hardcover)
by (shelved 28 times as armenia)
avg rating 3.95 — 8,741 ratings — published 2015
A Shameful Act: The Armenian Genocide and the Question of Turkish Responsibility (Hardcover)
by (shelved 27 times as armenia)
avg rating 4.03 — 436 ratings — published 2006
Black Garden: Armenia and Azerbaijan through Peace and War (Paperback)
by (shelved 26 times as armenia)
avg rating 4.25 — 835 ratings — published 2003
There Was and There Was Not: A Journey through Hate and Possibility in Turkey, Armenia, and Beyond (Hardcover)
by (shelved 24 times as armenia)
avg rating 4.08 — 590 ratings — published 2014
The Gray House (Kindle Edition)
by (shelved 23 times as armenia)
avg rating 4.26 — 9,750 ratings — published 2009
My Grandmother: A Memoir (Hardcover)
by (shelved 23 times as armenia)
avg rating 4.22 — 1,253 ratings — published 2004
La masseria delle allodole (Paperback)
by (shelved 22 times as armenia)
avg rating 3.83 — 2,134 ratings — published 2004
Passage to Ararat (FSG Classics)
by (shelved 21 times as armenia)
avg rating 3.96 — 321 ratings — published 1976
"They Can Live in the Desert But Nowhere Else": A History of the Armenian Genocide (Hardcover)
by (shelved 19 times as armenia)
avg rating 4.25 — 410 ratings — published 2015
Operation Nemesis: The Assassination Plot that Avenged the Armenian Genocide (Hardcover)
by (shelved 18 times as armenia)
avg rating 4.23 — 1,359 ratings — published 2015
The Road from Home: A True Story of Courage, Survival, and Hope (Mass Market Paperback)
by (shelved 18 times as armenia)
avg rating 3.99 — 2,092 ratings — published 1979
The Crossing Place: A Journey Among the Armenians (Paperback)
by (shelved 16 times as armenia)
avg rating 4.03 — 269 ratings — published 1993
Forgotten Fire (Mass Market Paperback)
by (shelved 15 times as armenia)
avg rating 4.27 — 2,788 ratings — published 2000
Three Apples Fell From Heaven (Paperback)
by (shelved 14 times as armenia)
avg rating 3.95 — 306 ratings — published 2001
The Gendarme (Hardcover)
by (shelved 13 times as armenia)
avg rating 3.74 — 2,121 ratings — published 2010
My Name Is Aram (Mass Market Paperback)
by (shelved 12 times as armenia)
avg rating 4.17 — 2,086 ratings — published 1940
The Caucasus: An Introduction (Paperback)
by (shelved 12 times as armenia)
avg rating 4.03 — 857 ratings — published 2010
Family of Shadows: A Century of Murder, Memory, and the Armenian American Dream – Three Generations, Genocide, Diaspora, and Political Prominence (Paperback)
by (shelved 12 times as armenia)
avg rating 4.11 — 124 ratings — published 2010
The Fool (Kindle Edition)
by (shelved 11 times as armenia)
avg rating 4.32 — 530 ratings — published 1880
A Book, Untitled (Paperback)
by (shelved 10 times as armenia)
avg rating 3.79 — 107 ratings — published 2006
Gilgamesh (Paperback)
by (shelved 10 times as armenia)
avg rating 3.68 — 1,875 ratings — published 2000
Rise the Euphrates (Hardcover)
by (shelved 10 times as armenia)
avg rating 3.93 — 278 ratings — published 1994
The Gardens of Silihdar (Paperback)
by (shelved 9 times as armenia)
avg rating 4.38 — 194 ratings — published 1935
The Armenian Genocide: A Complete History (Hardcover)
by (shelved 9 times as armenia)
avg rating 4.46 — 65 ratings — published 2006
Survivors: An Oral History of the Armenian Genocide (Paperback)
by (shelved 9 times as armenia)
avg rating 4.23 — 139 ratings — published 1993
Like Water on Stone (Library Binding)
by (shelved 9 times as armenia)
avg rating 3.99 — 701 ratings — published 2014
Bringing Ararat (Paperback)
by (shelved 9 times as armenia)
avg rating 3.45 — 65 ratings — published 2009
Not Even My Name (Paperback)
by (shelved 9 times as armenia)
avg rating 4.28 — 1,451 ratings — published 2000
Looking toward Ararat: Armenia in Modern History (Paperback)
by (shelved 8 times as armenia)
avg rating 3.65 — 31 ratings — published 1993
The Knock at the Door: A Journey Through the Darkness of the Armenian Genocide (Hardcover)
by (shelved 8 times as armenia)
avg rating 4.19 — 323 ratings — published 2007
Great Catastrophe: Armenians and Turks in the Shadow of Genocide (Kindle Edition)
by (shelved 8 times as armenia)
avg rating 4.09 — 139 ratings — published 2015
Goodbye, Antoura: A Memoir of the Armenian Genocide (Hardcover)
by (shelved 8 times as armenia)
avg rating 4.45 — 323 ratings — published 2015
As the Poppies Bloomed (Paperback)
by (shelved 8 times as armenia)
avg rating 3.93 — 636 ratings — published 2015
Retreat without song (Paperback)
by (shelved 8 times as armenia)
avg rating 4.10 — 168 ratings — published 1929
The Armenian People from Ancient to Modern Times: Volume I: The Dynastic Periods: From Antiquity to the Fourteenth Century (Hardcover)
by (shelved 7 times as armenia)
avg rating 4.00 — 17 ratings — published 1997
The Thirty-Year Genocide: Turkey’s Destruction of Its Christian Minorities, 1894–1924 (Hardcover)
by (shelved 7 times as armenia)
avg rating 4.13 — 297 ratings — published 2019
Journey to Armenia (Paperback)
by (shelved 7 times as armenia)
avg rating 3.78 — 262 ratings — published 1931
The Human Comedy (Hardcover)
by (shelved 7 times as armenia)
avg rating 4.03 — 6,743 ratings — published 1943
To Go on Living: Stories (Hardcover)
by (shelved 6 times as armenia)
avg rating 4.36 — 2,504 ratings — published 2018
“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo.
Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo.
Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu.
Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani.
Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo.
Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo.
Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo.
Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo.
Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki.
Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia.
Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India.
Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa.
Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo.
Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”
―
Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo.
Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu.
Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani.
Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo.
Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo.
Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo.
Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo.
Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki.
Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia.
Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India.
Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa.
Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo.
Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”
―
“The Armenian language cannot be worn out; its boots are stone. Well, certainly, the thick-walled words, the layers of air in the semi-vowels.”
― Journey to Armenia
― Journey to Armenia














