Mustafa Tuza

Add friend
Sign in to Goodreads to learn more about Mustafa.


Oxford Paravia En...
Rate this book
Clear rating

 
Oxford Paravia It...
Rate this book
Clear rating

 
What is HTML 5?
Mustafa Tuza is currently reading
bookshelves: currently-reading
Rate this book
Clear rating

 
See all 15 books that Mustafa is reading…
Loading...
Enock Maregesi
“Kuna ndoto za mchana na kuna ndoto za usiku. Ndoto za mchana ni maono ya kile ambacho roho inatamani kuwa. Ndoto za usiku ni maono yanayotokea wakati akili imetulia baada ya mwili wote kupumzika. Ukiota kuhusu moto, hiyo ni ishara ya hasira; ukiota kuhusu maji, hiyo ni ishara ya siri; ukiota kuhusu ardhi, hiyo ni ishara ya huzuni; ukiota kuhusu Yesu, hiyo ni ishara ya mafanikio. Kitu cha kwanza kufanya unapoota ndoto za kishetani, utakapoamka, mwombe Mungu akunusuru kutoka katika matatizo yoyote yanayokunyemelea; au yanayomnyemelea mtu mwingine yoyote yule, hata usiyemjua. Ubongo ni kitu cha ajabu kuliko vyote ulimwenguni na umetengenezwa na Mungu. Ndoto zinapatikana ndani ya ubongo. Ubongo unapatikana ndani ya ufahamu. Ufahamu mtawala wake ni malaika mwema. Malaika mwema anajua siri ya ndoto. Kila mtu anaota na kila ndoto ina maana yake. Rekodi ndoto zako kila siku kwa angalau mwezi mzima kupata maana halisi ya ndoto hizo, na kujua kwa nini ulizaliwa.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Usikate tamaa juu ya ndoto zako.”
Enock Maregesi

“I am Muslim, Islam is Perfect but I am not, If I make a mistake blame it on me, not on my religion.”
Mohammed Suleman Khan

Enock Maregesi
“Kutokana na utafiti wa kisayansi wa kionairolojia ambayo ni sayansi ya ndoto; wakati tumelala, sehemu yetu ya akili isiyotambua huamka na kuanza kazi; kwa kupangilia mawazo, kuanzia mawazo ya siku iliyopita, na kuimarisha mahusiano baina ya mawazo hayo na matukio ya wakati ujao, huku ikiondoa mawazo yasiyokuwa na maana, kunusuru ubongo usielemewe na msongo. Kazi hiyo hutambuliwa haraka na akili inayotambua, kwa njia ya alamu, lakini akili inayotambua inapagawa kwa sababu haijui akili isiyotambua inamaanisha nini kutuma alamu kama hizo. Kwa hiyo inajaribu kwa kadiri inavyoweza kutunga hadithi kuhusiana na vitu mbalimbali, ambayo baadaye hutafsiriwa kama ndoto. Hii ndiyo sababu tunaota ndoto za ajabu ambazo aghalabu hazina maana yoyote, na hazina maana yoyote kwa sababu hazitakiwi kuwa na maana yoyote, na hazina ujumbe wowote halisi kutoka akilini mwetu. Hayo ni matokeo ya akili kujaribu kusanisi sauti, kutoka katika akili isiyotambua.”
Enock Maregesi

“Wakati mwingine kufukuzwa kazi ni kama kujengewa ukuta kwenye njia upitayo hata hivyo wakati mwingine ni namna ya kupata uelekeo sahihi.”
Suzy Kassem, Rise Up and Salute the Sun: The Writings of Suzy Kassem

year in books
Jack Mwera
2 books | 7 friends

Israel ...
2 books | 131 friends

Ali Abd...
1 book | 4 friends

Benn
0 books | 68 friends

Fahad K...
1 book | 5 friends

محسن عب...
0 books | 77 friends

Bonfex ...
1 book | 12 friends

Saeed M...
0 books | 62 friends

More friends…



Polls voted on by Mustafa

Lists liked by Mustafa